BANZA STONE HATUNAYE TENA

Ramadhani Masanja 'Banza Stone ambaye ni mwanamuziki maarufu wa mieondoko ya dansi Tanzania ameaga dunia katika hospitali ya mwananyamala alipokuwa amelazwa hospitalini hapo kwa muda mrefu.
Mwanamuziki huyo nyota wa zamani wa Twanga Pepeta na Tot alikuwa amelazwa hospitalini muda mrefu.

habari za kifo chake zimethibitishwa na mmiliki wa bendi ya Twanga Pepeta, Asha Barak.“Kweli amefariki leo saa saba, baada ya kutoka tu msikitini ndiyo tumepata taarifa hizo za msiba,” alisema Asha Baraka.

licha ya kufanya kazi twanga pepeta marehemu banza stone pia alifanya kazi katika bendi ya
TOT.
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment