Kocha mkuu wa Azam mwingereza Stewart Hall amewaweka hadharani wapiganaji wake katika kombe la klabu bingwa afrika mashariki na kati maarufu kama Kagame cup. kikosi hicho kiko kama ifuatavyo;
magoli kipa;
- Manula Aishi Salum,
- Mwadini Ali na
- Metacha Boniphance Mnata.
Mabeki;
- Pascal Wawa,
- Agrey Morris Ambros,
- Shomari Kapombe,
- Erasto Nyoni,
- Morad Said Hussein,
- Kamagi Gadiel Michael na
- Kheri Abdallah Salum.
Viungo; ni
- Mkami Hamid Mao,
- Salum Abubakar
Domayo Frank Raymond, - Jean Mugiraneza,
- Abbas Mudathir Yahya na
- Shah Faridi Mussa
washambuliaji ni;
- Nahodha John Bocco,
- Didier Kavumbagu,
- Kipre Tchetche na
- Ame Ali.
0 comments :
Post a Comment