FAHAMU YAFUATAYO KUHUSIANA NA BUNGE LIJALO

  1. Je ni bunge la ngapi? hili liatakuwa bunge la kumi na moja
  2. kutakuwa na wabunge wangapi? bunge lijalo linatarajiwa kuwa na jumla ya wabunge 396 kama inavyoonyeshwa katika mchanganuo ufuatao kwenye jedwali 
1.       AINA YA WABUNGE
IDADI
2.       WABUNGE  WA MAJIMBO
266
3.       VITI MAALUM
113
4.       WABUNGE WA KUTEULIWA NA RAIS
10
5.       WAWAKILISHI WA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR
5
6.       MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI
1
7.       SPIKA WA BUNGE (KAMA HATAKUWA MBUNGE)
1
JUMLA
396
 

3.mgawanyo wa viti maalum kivyama ukoje?  

CHAMA
IDADI YA WABUNGE WA VITI MAALUM
1.       CCM
2.       CHADEMA
3.       CUF
                                             JUMLA
63
43
7
113
Fuatilia hapa hapa kupata elimu zaidi
 
 
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment