Mkuu
wa Wilaya ya Kinondoni Paul Makonda leo amewaweka rumande maofisa
ardhi baada ya kuchelewa kufika eneo la kazi kwa wakati kama
alivyowaelekeza.
Aliwaagiza wafike eneo lenye mgogoro wa ardhi mapema asubuhi wakafika saa tano
Mkuu huyo wa wilaya ya Kinondoni Paul Makonda jana alikuwa amewataka
Maofisa Ardhi na Mipango Miji kufika eneo la Nakasangwe Kata ya Wazo leo
asubuhi mapema kutoa ufafanuzi wa mgogoro wa ardhi lakini wao wakafika
saa 5.
Hivyo aliamua kuwakeka mahabusu kwa saa sita katika Kituo
cha Polisi Wazo na kuairisha shughuli hiyo hadi kesho. Nini maoni
yako???
Home
/
Uncategories
/
KAZI TU YA MHESHIMIWA RAIS MAGUFULI LEO YAHAMIA KINONDONI; HICHI NDICHO KILICHOTOKEA
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 comments :
Post a Comment