Omari abdala Kigoda Ambaye ni mtoto wa aliyekuwa mgombea ubunge wa ccm wa jimbo la handeni Abdala Kigoda ameshinda kura za maoni ndani ya ccm na hivyo atakuwa mgombea ubunge wa chama hicho katika jimbo hilo la handeni. Bwana Omari Abdala kigoda alipata jumla ya kura 402 huku mshindani wake Hamisi Mnondwa akipata kura 257.
uchaguzi huo ulirudiwa baada ya ule wa awali kushindwa kumtoa mshindi wa moja kwa moja kutokana na mshindi wa kwanza na yule wa pili kushindwa kuvuka nusu ya kura hivyo kushindwa kutimiza vigezo vilivyowekwa na chama chao.
Home
/
HABARI
/
RANDOM POSTS
/
SIASA
/
Slider
/
MTOTO WA KIGODA ATEULIWA KUGOMBEA UBUNGE HANDENI KWA TIKETI YA CCM
-
Blogger Comment
-
Facebook Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 comments :
Post a Comment