Kiongozi mkuu wa ACT wazalendo ameitaka tume ya taifa ya uchaguzi kumtangaza mshindi halali wa uchaguzi mkuu wa zanzibar atangazwe kuwa ndiye mshindi na si vinginevyo , soma alichaandika katika faceboo yake
"Suala
la Zanzibar lisidharauliwe kabisa. Matokeo yatangazwe na mshindi
aapishwe. Hatuwezi kutazama tu Katiba inakanyagwa. Vinginevyo Maalim
Seif apate Jaji amwapishe na aunde Serikali mara moja na kuanza
kuwatumikia Wazanzibari, Serikali ya Umoja wa kitaifa kwa mujibu wa
Katiba ya Zanzibar"
0 comments :
Post a Comment