Basi la Kampuni ya Taqbiir
ambalo lilikuwa likitoka Dar es salam kwenda mkoani geita limepata ajali mbaya katika eneo la shelui mkoani singida na kusababisha vifo na majeruhi na uharibufu mkubwa wa mali. ajali hiyo imetokea jana Desemba mosi
majira ya saa moja na nusu jioni baada ya basi hilo kuligonga Tenka la Mafuta upande wa kulia wa dereva
na kung’oa bati lote na kuua baadhi ya watu papo hapo na wengine walifia njiani
wakipelekwa hospitali ya wilaya ya Iramba.AJALI MBAYA SINGIDA
Basi la Kampuni ya Taqbiir
ambalo lilikuwa likitoka Dar es salam kwenda mkoani geita limepata ajali mbaya katika eneo la shelui mkoani singida na kusababisha vifo na majeruhi na uharibufu mkubwa wa mali. ajali hiyo imetokea jana Desemba mosi
majira ya saa moja na nusu jioni baada ya basi hilo kuligonga Tenka la Mafuta upande wa kulia wa dereva
na kung’oa bati lote na kuua baadhi ya watu papo hapo na wengine walifia njiani
wakipelekwa hospitali ya wilaya ya Iramba.
0 comments :
Post a Comment