BAADA YA CCM KUWACHAPA UKAWA KWENYE CHAGUZI NDOGO ZA JANA MWANAUKAWA JULIAS MTATIRO AWAASA WENZAKE YAFUATAYO


VYAMA YA UPINZANI VIHAMIE NA KUWEKEZA VIJIJINI.
Pamoja na kutokuwa na uwanja sawa wa uchaguzi katika nchi (yaani vyombo vya dola na vinavyosimamia uchaguzi kuzidiwa nguvu na chama kinachoongoza dola pamoja na hujuma nyingi za kiuchaguzi), ukweli unabakia kuwa vyama vya upinzani nchini Tanzania vina kazi kubwa ya kuwekeza vijijini katika miaka hii mitano (2015 - 2020).
Hadi sasa, zaidi ya asilimia 90 ya majimbo yako vijijini na huko ndiko CCM imeendelea kushinda au kucheza na akili za wapiga kura au kuchezea kura zao na hata kubadilisha matokeo, mjini pamekuwa pagumu kwa CCM.
Kwa hiyo, akili ndogo tu inaonesha kuwa ili uiongoze Tanzania pamoja na "figisu figisu" za kiuchaguzI zilizopo, lazima ukawekeze na kushinda kwa zaidi ya nusu ya majimbo yaliyoko vijijini.
Mtatiro J.


VYAMA YA UPINZANI VIHAMIE NA KUWEKEZA VIJIJINI.
Pamoja na kutokuwa na uwanja sawa wa uchaguzi katika nchi (yaani vyombo vya dola na vinavyosimamia uchaguzi kuzidiwa nguvu na chama kinachoongoza dola pamoja na hujuma nyingi za kiuchaguzi), ukweli unabakia kuwa vyama vya upinzani nchini Tanzania vina kazi kubwa ya kuwekeza vijijini katika miaka hii mitano (2015 - 2020).
Hadi sasa, zaidi ya asilimia 90 ya majimbo yako vijijini na huko ndiko CCM imeendelea kushinda au kucheza na akili za wapiga kura au kuchezea kura zao na hata kubadilisha matokeo, mjini pamekuwa pagumu kwa CCM.
Kwa hiyo, akili ndogo tu inaonesha kuwa ili uiongoze Tanzania pamoja na "figisu figisu" za kiuchaguzI zilizopo, lazima ukawekeze na kushinda kwa zaidi ya nusu ya majimbo yaliyoko vijijini.
Mtatiro J.
- See more at: http://asaliwamoyo.blogspot.com/2015/12/habari-hivi-punde-kauli-nzito-ya-julius.html#sthash.7xR7raaX.dpuf
VYAMA YA UPINZANI VIHAMIE NA KUWEKEZA VIJIJINI.
Pamoja na kutokuwa na uwanja sawa wa uchaguzi katika nchi (yaani vyombo vya dola na vinavyosimamia uchaguzi kuzidiwa nguvu na chama kinachoongoza dola pamoja na hujuma nyingi za kiuchaguzi), ukweli unabakia kuwa vyama vya upinzani nchini Tanzania vina kazi kubwa ya kuwekeza vijijini katika miaka hii mitano (2015 - 2020).
Hadi sasa, zaidi ya asilimia 90 ya majimbo yako vijijini na huko ndiko CCM imeendelea kushinda au kucheza na akili za wapiga kura au kuchezea kura zao na hata kubadilisha matokeo, mjini pamekuwa pagumu kwa CCM.
Kwa hiyo, akili ndogo tu inaonesha kuwa ili uiongoze Tanzania pamoja na "figisu figisu" za kiuchaguzI zilizopo, lazima ukawekeze na kushinda kwa zaidi ya nusu ya majimbo yaliyoko vijijini.
Mtatiro J.
- See more at: http://asaliwamoyo.blogspot.com/2015/12/habari-hivi-punde-kauli-nzito-ya-julius.html#sthash.7xR7raaX.dpuf

VYAMA YA UPINZANI VIHAMIE NA KUWEKEZA VIJIJINI.
Pamoja na kutokuwa na uwanja sawa wa uchaguzi katika nchi (yaani vyombo vya dola na vinavyosimamia uchaguzi kuzidiwa nguvu na chama kinachoongoza dola pamoja na hujuma nyingi za kiuchaguzi), ukweli unabakia kuwa vyama vya upinzani nchini Tanzania vina kazi kubwa ya kuwekeza vijijini katika miaka hii mitano (2015 - 2020).
Hadi sasa, zaidi ya asilimia 90 ya majimbo yako vijijini na huko ndiko CCM imeendelea kushinda au kucheza na akili za wapiga kura au kuchezea kura zao na hata kubadilisha matokeo, mjini pamekuwa pagumu kwa CCM.
Kwa hiyo, akili ndogo tu inaonesha kuwa ili uiongoze Tanzania pamoja na "figisu figisu" za kiuchaguzI zilizopo, lazima ukawekeze na kushinda kwa zaidi ya nusu ya majimbo yaliyoko vijijini.
Mtatiro J.
- See more at: http://asaliwamoyo.blogspot.com/2015/12/habari-hivi-punde-kauli-nzito-ya-julius.html#sthash.7xR7raaX.dpuf
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment