MAVETERAN WA KUWAIT WAWAPIGA MAVETERAN WA DUNIA KINA FIGO NA BECKHAM KIPIGO KINENE


Nyota wakubwa duniani katika soka kama David Beckham, Louis Figo, Alexandro del Piero, Robert Pires, Deco; Dwight Yorke; Andriy Shevchenko na Roberto Carlos waliungana tena na kucheza mechi pamoja nchini Kuwait.

Ilikuwa mechi maalum kufungua Uwanja wa Jaber Al-Ahmad unaobeba watazamaji 60,000 na watandelea na ziara hiyo katika nchi za Kiarabu.

Pamoja na Figo na Pires kutupia, lakini mechi hiyo iliisha kwa wakali hao kulala kwa mabao 4-2 dhidi ya nyota wa Kuwait wanaocheza katika timu mbalimbali za Ligi Kuu.

KIKOSI CHAO KILIVYOKUWA:
(4-4-2):
 Jens Lehmann; Gianluca Zambrotta, Michel Salgado, Alessandro Nesta, Roberto Carlos; David Beckham, Luis Figo, Robert Pires, Deco; Dwight Yorke; Andriy Shevchenko.
Subs: David James, Carles Puyol, Mohamed Aboutrika, Del Piero
Manager: Fabio Capello
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment