
JE AMRI HII HAIJAKIUKA SHERIA YA VINYWAJI KAMA IFUATAVYO?
1.Mkuu huyu wa mkoa haelewi kuwa kuna sheria ya vileo .
2.Amri yake inakwenda tofauti na sheria ya vileo.Sheria inaruhusu Mgahawa kuuza pombe saa 6 hadi saa 8 mchana kisha saa 12 hadi saa 6 usiku kwa siku za wiki na saa 5 hadi 8 mchana kisha saa 12 jioni hadi saa 6 usiku kwa siku za week end.
3.Mkuu huyu wa mkoa ameshindwa kuitekeleza sheria ya vileo kwenye mkoa wake.
4.Mkuu wa mkoa ameliingizia taifa hasara na wenda hasara zaidi endapo serikali itadaiwa fidia na watakao
0 comments :
Post a Comment