M/Kiti
CHADEMA Taifa, Freeman Mbowe akifatana na aliyekuwa mgombea urais wa
chama hicho MHE: WAZIRI MKUU MSTAAFU Edward Lowassa pamoja na viongozi
mbalimbali wamefika eneo ambalo aliyekuwa mwenyekiti wa chadema mkoa wa Geita aliuawa tarehe 14/11/2015. Alphonce Mawazo alifanyiwa kitendo ya
kinyama cha kukatwakatwa mapanga na watu wanaosemekana ni wafuasi wa CCM
ikiwa ni umbali mchache kutoka kutuo cha polisi na ofisi za CCM katika
barabara kuu inayoelekea Geita kutokea Busanda.
This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
0 comments :
Post a Comment