CHELSEA YAENDELEA KUBAMIZWA KWENYE LIGI KUU YA UINGEREZA

Unaweza kusema huu ni mwaka wa huzuni au mwaka wa shetani au mwaka wa vipigo kwa chelsea vyovyote utakavyo ili kuonyesha matokeo mabovu ya timu hiyo bingwa mtetezi wa ligi. hali hiyo iliendelea jana baada ya chelsea kupokea kipigo cha mbwa mwitu kutoka kwa majogoo wa anfield (LIVEPOOL). katika mechi ya jana chelsea ilitandikwa mabao 3 kwa bao moja la kufutia machozi. mabao ya liverpool yalifungwa na mbrazili philipe countinho (dk 45), (74) na christian benteke dakika ya 83. bao la chelsea ambao walikuwa wa kwanza kufunga bao dakika ya nne lilifungwa na kiuno mbrazil ramires.
Liverpool forward Philippe Coutinho (right) whips this strike past the challenge of John Terry (left) to equalise for the away side
phillipe countinho akifunga goli la kusawazisha
Coutinho heaped more misery on Jose Mourinho's men with this strike late in the second-half to give Liverpool a 2-1 lead
countinho akifunga goli la pili
Chelsea's backline was once again undone by this shot from Christian Benteke, who fired in Liverpool's third at Stamford Bridge
bentekke akifuta matumaini ya chelsea kusawazisha goli baada ya kufunga goli la tatu na la mwisho
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment