MATOKEO YA DARASA LA SABA 2015

Baraza la mitihani la taifa limetangaza matokeo ya mtihani ya darasa la saba uliofanyika septemba 2 hadi kumi mwaka huu.  kwa mujibu wa baraza la mitihani la taifa jumla ya watahiniwa 518034 wamefaulu mtihani huo kati ya watahiniwa 763602 waliofanya mtihani huo.
katibu mkuu wa baraza hilo dkt Charles msonde ambaye ndiye aliyetangaza matokeo hayo kwa niaba ya baraza alisema kuwa watahiniwa waliofaulu ni asilimia 67.84 ambayo ni asilimia 10.85 zaidi ya ile ya mwaka 2014.
idadi ya wasichana waliofaulu ni 264130 na wavulana walifaulu ni 253904.
watahiniwa kumi bora wanatoka katika shule za Hazina ya Dar es salaam,Mugini ya Mwanza,Twibhoki ya Mara.
shule kumi bora katika mtihani huo ziliongozwa na
  1. Waja springs ya mkoani Geita, 
  2. Ikafuatiwa na Enyamai ya mkoani Mara,
  3. twibhokki ya mara
  4. Mugini ya Mwanza
  5. Rocken Hill ya shinyanga
  6. Karume ya Kagera
  7. Alliance ya Mwanza
  8. Little flower ya Mara
  9. Palikas ya Shinyanga
  10. mtakatifu Karoli Ya Mwanza
shule zilizofanya vibaya katika mtihani huo ziliongozwa na
  1. Mwashigini ya shinyanga
  2. Mabambasi ya Simiyu
  3. mwangu ya lindi
  4. Mohedagew ya Arusha
  5. Kwale ya Pwani
  6. Njoro ya Arusha
  7. Gomhungile ya Dodoma
  8. Makole ya Tanga
  9. Kitengu ya Morogoro
  10. koloni ya Morogoro
mikoa iliyofanya vizuri kwenye ufaulu ni
  1. katavi
  2. Dar es salaam 
  3. Mwanza
  4.  
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment