Kazi
imeanza. Leo kikao na Wenyeviti wote wa Mitaa Manispaa ya Kigoma/Ujiji
na kikao na madiwani wote 12 wa ACT Wazalendo jimboni. Kuweka mikakati
ya utekelezaji wa malengo yetu 15 na kufanya transformation ya mji wetu
ZITTO AANZA KAZI
Munge mteule wa kigoma mjini aanza kazi rasmi ya kuwatumikia wananchi wake kwa kikao cha viongozi wake wa serikali za mitaa. soma hapo chini alichokisema kwenye mtandao wake

0 comments :
Post a Comment