BREAKING NEWS; MAKONTENA YA MATRILION YAPOTEA TENA BADARINI NA TRA

Taarifa za hivi punde zinadai kuwa waziri mkuu amefanya ziara ya kushtukiza tena bandarin na shirika la reli  kukuta kuna upotevu wa makontena 2431 MWISHO WA KUNUKUU.
kwa maana HIYO mankontena yaliyopotea bandalini 2431 yameisababishia serikali hasara ya trion 12 ambazo sawa na bilion 12000 hizi zilikuwa na uwezo wa kuleta tren za umeme dar kigoma na dar mbeya dar arusha,dar mwanza.lakini pia pesa hii ingetumika kwenye secta ya elimu basi watoto wangesoma bure kuanzia chekechea mpaka chuo kikuu kwa muda wa miaka 10 huku kila mmoja akipewa chapati 5 za mia Image result for MAJALIWA KASSIMtatutatu kwa moja na kikombe cha chai cha nusu lita kila siku kwa muda huo wa miaka 10.
kutokana na hasara hiyo inayokadiliwa kuwa imeingizwa ndani ya miaka miwili hivyo mawaziri ambao wameitumikia wizara hiyo kwa nyakati tofauti Samwel Sitta na Harrison Mwakyembe wahojiwe na vyombo husika kama wanahusika na ufisadi huu na kama hawahusiki ni kwa nini walifanya uzembe huu ambao umelighalimu taifa matrion ya pesa? na ikiwezekana wachukuliwe hatua na kubuluzwa mahakamani haiwezekani pesa ambayo ni bajeti ya nchi ya mwaka inaliwa na watu wachache ambao ata 20 hawafiki wakati kuna watu wanakufa kwa njaa.
sasa hapa ndio tunataka kuona ujasiri wa serikali ya makufuri maana mara nyingi udhaifu wa viongozi wa ccm unakuwaga pale pa kuwawajibisha vigogo mpaka sasa tangu makufuli aanze kazi ni vidagaa tu ndio wanaowajibika.na uwizi wa mankotena 2431 lazima kuna vigogo wakubwa wanahusika kama vile mawaziri wa serikali iliyopita watoto wa marais na ndugu zao.
Share on Google Plus

About KAKSIGABA

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment
    Facebook Comment

0 comments :

Post a Comment