Pichani Mbunge wa jimbo la Mafinga mji ni
Cotato chumi akimkabidhi msaada
wa vitanda ,magodoro pamoja na vifaa mbalimbali kaimu mganga mkuu wa
hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya juzi
baadhi ya waandishi wa habari wakifuatiliwa ugawaji wa vifaa hivyo wakati wa makabidhianoMbunge wa Mafinga mjini Cosato Chumi akikabidhi vifaa hivyo kwa vitendo
Baadhi ya wadau na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi CCM walihudhulia tukio hilo
TATIZO la upungufu wa vitanda katika wodi ya
akina mama na watoto katika hospitali ya wilaya ya Mufindi mkoani Iringa
ambalo kwa muda mrefu limekuwa chanzo cha msongamano na uwalazimu
baadhi ya wagonjwa kulala sakafuni sasa limepatiwa ufumbuzi baada ya
uongozi wa hospitali hiyo kupokea msaada wa vitanda na vifaa tiba kutoka
kwa mdau wa maendeleo katika sekta ya afya.
mbunge wa Mafinga Mjini
(CCM) Cosato Chumi alisema kuwa kwa muda mrefu hospitali hiyo ilikuwa ina
upungufu wa vifaa mbalimbali ikiwemo vitanda hali iliyofanya kuandika maandiko
mbalimbali kwa wahisani wa nje ya nchi ili kuweza kumsaidia kupata
vifaa hivyo .
Alisema kuwa umefika
wakati sasa wadau mbalimbali, mifuko ya kijamii na makampuni kujenga utamaduni
wa kusaidia watu wenye mahitaji mbalimbali wakiwemo watoto wanaoishi kwenye
mazingira magumu na wagonjwa hospitalini kwani kufanya hivyo ni sehemu ya
kurudisha kile wanachokitapa kwa jamii.
“Unajua afya ni kila
kitu katika maisha ya binadamu hivyo lazima nitekeleze ahadi zangu nilizotoa
wakati wa kampeni na wanachi lazima tufanye kazi kwa kujituma ili tumuunge
mkono rais wetu ambaye anania ya ya kutuletea maendeleo na kuwataka wadau
mbalimbali kusaidia jamii zenye mahitaji na kuacha kutegemea serikali pekee “
alisema
Chumi aliwaomba wananchi
wa jimbo hilo kuunga mkono kwa kufanya kazi kwa nguvu zote ili walete maendeleo
kwa pamoja maana akifanya kazi pekee yake bila wao hawezi kuleta maendeleo
pekee yake.
Msaada huo wa vitanda 16 na magodoro 11 na vitu
mbalimbali umetolewa na taasisi binafsi inayojishughulisha na masuala ya
afya ya nchini Astralia ijulikanayo kama “Rafiki Surgical Mission” kwa
uratibu wa ofisi ya mbunge wa jimbo la Mafinga mjini
“Ndugu zangu nadhani kila mmoja alikuwa akifahamu machungu waliyokuwa wakipata mama zetu wanapokuja kujifungua kwa kukosa sehemu za kujifungulia lakini leo hii msaada huu utatusaidia sana na yoyote atakayeguswa na anaweza kuja na kuchangia chochote maana mufindi ni yetu sote na mufindi itajegwa na wanamufindi wenyewe”alisema
Alisema jambo kubwa lilokuwa likimuumiza kicha kila kukicha ni tatizo la vifaa katika hospital, elimu pamoja na tatizo la maji hivyo ni wakati wawanamafinga kushikana kwa pamoja katika kusumkuma mbele gurudumu la maendeleo ili kuendana na kauli mbiu ya sasa ya HAPA NI KAZI TU.
Akipokea msaada huo kaimu mganga mkuu wa hospitali ya Mafinga dk Abdul Msuya alisema kuwa msaada wa vitanda hivyo na magodoro na vifaa mbalimbali utakuwa umemaliza kabisa tatizo la vitanda hospitalini hapo licha ya kukabiliwa na changamoto mbalimbali ambazo zinaweza kumalizika endapo kutatokea mdau mwingine kuwasaidi Kwa upande wake katibu wa ccm wilaya ya Mufindi Jimsoni Muhagama
alimpongeza mbunge huyo kwa kutekeleza majukumu yake ipasavyo huku akimwambia kuwa ni wakati wa kutekeleza kazi kwa vitendo na wala si maneno kwani wananchi wanapaswa kutatuliwa kero mbalimbali zinazowakabili badala ya kupiga porojo zisizo na msingi .
Mhagama alisema kuwa kila mmoja anapaswa kuwajibika ipasavyo katika nafasi yake kwani kasi anayokwenda nayo Rais John Magufuli si ya mchezo bali ni ya mchaka mchaka na ili nchi iweze kusimama katika mstari ulionyoka kila mmoja anapaswa kucheza wimbo wa mchaka mchaka
‘’Huuu si wakati lelemama huu sio wakati mchezo mchezo ni wakati wa uwajibikaji ,hakika Tanzania tumepata kiongozi mchapa kazi tazama sasa ni siku ya 27 nchi inaongozwa na watu wanne lakini kila sektaa imenyoka na mimi nasemaa Magufuli wanyooshe tu kwa kuwa watu walikuwa wakifanya kazi kwa mazoeya bila ya kuangalia madhara wanayopata
watanzania swengi
Hata hivyo Mhgama alisema kuwa kwa kuwa kipindi cha muda mchache nchi inaongozwa na watu wachache na nchi imesimama haoni sababu ya kuwa na baraza kubwa la mawaziri bali Rais Magufuli achague baraza dogo kama
la watu 10 ili kupunguza mzigo kwa serekali yake ya kuwa na mawziri wengi wasiokuwa na tija .
UFAFANUZI WA TAARIFA KUWA TANESCO HAINUNUI NGUZO NCHINI BALI INAAGIZA AFRIKA KUSINI
Kwa takribani wiki moja sasa kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya
habari na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya
habari kuwa TANESCO haitumii nguzo za umeme zinazozalishwa hapa nchini
bali inaagiza nguzo hizo kutoka nchini Afrika Kusini.
Taarifa hizo zilidai kuwa Shirika lipo kwenye mchakato wa kutangaza
zabuni ya nguzo 700,000 kwa gharama ya Dola za Marekani 115 milioni sawa
na Sh 250 bilioni kwa mwaka 2015-2018 na kwamba sehemu kubwa ya pesa
hizo zitatumiwa na kampuni za nje.
Habari hizo ziliendelea kusema kuwa uagizwaji huo wa nguzo unaenda
kinyume na Sera ya serikali ya maendeleo ya kiuchumi inayohamasisha
matumizi ya bidhaa za ndani. Kwanza tunakanusha kuwa taarifa hizo SI
SAHIHI HATA KIDOGO, NI UZUSHI NA MAJUNGU yenye nia ovu na hatujui
anayezisambaza ana nia gani. Tunapenda kufafanua kwamba TANESCO hufanya
manunuzi yake kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa.
Shirika linapotaka kufanya manunuzi yoyote, linafuata kikamilifu Sheria
ya Manunuzi Namba 7 ya mwaka 2011 pamoja na Kanuni zake (GN 446) ya
mwaka 2013
Kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi, Zabuni yoyote isiyozidi Sh bilioni 1
inatakiwa itangazwe Kitaifa na hakuna kampuni ya nje inayoruhusiwa
kuomba zabuni hiyo. Zabuni yoyote inayozidi Sh bilioni 1 inatakiwa
itangazwe Kimataifa ili Makampuni ya ndani na ya nje nayo yaombe na
kushindanishwa. Kwa kuwa zabuni nyingi za nguzo zinazidi Shs bilioni 1
ndio maana TANESCO hutangaza zabuni hizo Kimataifa.
Aidha ili kuweka uwazi, Sheria hiyo ya Manunuzi inalitaka Shirika
kutangaza kwenye magazeti kila mwanzo wa mwaka Mpango wake wa Manunuzi
wa mwaka mzima (Annual Procurement Plan) na miaka yote TANESCO imekuwa
ikitekeleza kifungu hicho.
Ukweli ni kwamba; kwa mwaka 2013 hadi 2015 kupitia Zabuni namba
PA/001/12/HQ/G/148 TANESCO ilitangaza zabuni ya kuhitaji nguzo 133,800.
Kati ya nguzo hizo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo hapa nchini
(Local suppliers) yalishinda Zabuni ya kusambaza nguzo 49,510, Makampuni
ya Ndani ambayo yalishinda Zabuni na kuagiza nguzo hizo nje ya nchi
yalikuwa na Zabuni ya nguzo 75,670 wakati Makampuni ya nje yalishinda
Zabuni ya kusambaza nguzo 8,620 tu.
Kwa Zabuni ya mwaka 2014 hadi 2016 ambayo ilikuwa ni ya kuongezea
mahitaji ya nguzo kutokana na kasi ya usambazaji umeme nchini, TANESCO
kupitia Zabuni namba PA/001/14/HQ/G/113 ilitangaza Zabuni ya hitaji la
nguzo 16,500. Katika zabuni hiyo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo
hapa nchini yalipata Zabuni ya kusambaza nguzo 1,600 wakati Makampuni
mengine ya ndani lakini yanayoagiza nguzo hizo kutoka nje yalipata
zabuni ya kuleta nguzo 14,900. Zabuni hii haikuwa na kampuni ya nje hata
moja.
Zabuni Mpya ambayo habari hizo zilipotosha kuwa ni ya nguzo 700,000 si
kweli. Zabuni hiyo Mpya ni Namba PA/001/2015/HQ/G/001 ya mwaka 2016 hadi
2018 ambayo imeshatangazwa kwa mahitaji ya nguzo 240,060 na bado
wasambazaji hawajapatikana.
Makampuni ya ndani yanayosambaza nguzo TANESCO ni M/s Sao Hill
Industries Ltd, M/s Farm Equipment (T) Ltd, M/s Mufindi Wood Poles Ltd,
M/s Critical Engineering na M/s New Forests Treated Timber. Makampuni ya
nje ni Rousant International Ltd, Treated Timber Product Ltd, Low’s
Creek Treated Timber Ltd, Maqhilika Treated Timber Ltd na Vuka Timbers
Ltd.
Hivyo TANESCO inawahakikishia wananchi kwamba, Shirika haliagizi nguzo
zote nje kama ilivyoelezwa, bali kwa mujibu wa Sheria, nguzo hizo
husambazwa na makampuni ya ndani na nje yanayopatikana kwa njia za
Zabuni za ushindani.
Baadhi ya makampuni ya ndani yanaweza kuwa hayapati zabuni hizi kwa
sababu za ubora hafifu na bei kuwa juu zaidi ikilinganishwa na za nje.
Hata hivyo inachokitaka TANESCO ni unafuu kwa wateja wake.
Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU.
- See more at: http://mtanzaniatz.blogspot.com/2015/12/taarifa-kutoka-tanesco-kuhusu-kununua.html#sthash.ECcITfLZ.dpuf
UFAFANUZI WA TAARIFA KUWA TANESCO HAINUNUI NGUZO NCHINI BALI INAAGIZA AFRIKA KUSINI
Kwa takribani wiki moja sasa kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya
habari na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya
habari kuwa TANESCO haitumii nguzo za umeme zinazozalishwa hapa nchini
bali inaagiza nguzo hizo kutoka nchini Afrika Kusini.
Taarifa hizo zilidai kuwa Shirika lipo kwenye mchakato wa kutangaza
zabuni ya nguzo 700,000 kwa gharama ya Dola za Marekani 115 milioni sawa
na Sh 250 bilioni kwa mwaka 2015-2018 na kwamba sehemu kubwa ya pesa
hizo zitatumiwa na kampuni za nje.
Habari hizo ziliendelea kusema kuwa uagizwaji huo wa nguzo unaenda
kinyume na Sera ya serikali ya maendeleo ya kiuchumi inayohamasisha
matumizi ya bidhaa za ndani. Kwanza tunakanusha kuwa taarifa hizo SI
SAHIHI HATA KIDOGO, NI UZUSHI NA MAJUNGU yenye nia ovu na hatujui
anayezisambaza ana nia gani. Tunapenda kufafanua kwamba TANESCO hufanya
manunuzi yake kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa.
Shirika linapotaka kufanya manunuzi yoyote, linafuata kikamilifu Sheria
ya Manunuzi Namba 7 ya mwaka 2011 pamoja na Kanuni zake (GN 446) ya
mwaka 2013
Kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi, Zabuni yoyote isiyozidi Sh bilioni 1
inatakiwa itangazwe Kitaifa na hakuna kampuni ya nje inayoruhusiwa
kuomba zabuni hiyo. Zabuni yoyote inayozidi Sh bilioni 1 inatakiwa
itangazwe Kimataifa ili Makampuni ya ndani na ya nje nayo yaombe na
kushindanishwa. Kwa kuwa zabuni nyingi za nguzo zinazidi Shs bilioni 1
ndio maana TANESCO hutangaza zabuni hizo Kimataifa.
Aidha ili kuweka uwazi, Sheria hiyo ya Manunuzi inalitaka Shirika
kutangaza kwenye magazeti kila mwanzo wa mwaka Mpango wake wa Manunuzi
wa mwaka mzima (Annual Procurement Plan) na miaka yote TANESCO imekuwa
ikitekeleza kifungu hicho.
Ukweli ni kwamba; kwa mwaka 2013 hadi 2015 kupitia Zabuni namba
PA/001/12/HQ/G/148 TANESCO ilitangaza zabuni ya kuhitaji nguzo 133,800.
Kati ya nguzo hizo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo hapa nchini
(Local suppliers) yalishinda Zabuni ya kusambaza nguzo 49,510, Makampuni
ya Ndani ambayo yalishinda Zabuni na kuagiza nguzo hizo nje ya nchi
yalikuwa na Zabuni ya nguzo 75,670 wakati Makampuni ya nje yalishinda
Zabuni ya kusambaza nguzo 8,620 tu.
Kwa Zabuni ya mwaka 2014 hadi 2016 ambayo ilikuwa ni ya kuongezea
mahitaji ya nguzo kutokana na kasi ya usambazaji umeme nchini, TANESCO
kupitia Zabuni namba PA/001/14/HQ/G/113 ilitangaza Zabuni ya hitaji la
nguzo 16,500. Katika zabuni hiyo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo
hapa nchini yalipata Zabuni ya kusambaza nguzo 1,600 wakati Makampuni
mengine ya ndani lakini yanayoagiza nguzo hizo kutoka nje yalipata
zabuni ya kuleta nguzo 14,900. Zabuni hii haikuwa na kampuni ya nje hata
moja.
Zabuni Mpya ambayo habari hizo zilipotosha kuwa ni ya nguzo 700,000 si
kweli. Zabuni hiyo Mpya ni Namba PA/001/2015/HQ/G/001 ya mwaka 2016 hadi
2018 ambayo imeshatangazwa kwa mahitaji ya nguzo 240,060 na bado
wasambazaji hawajapatikana.
Makampuni ya ndani yanayosambaza nguzo TANESCO ni M/s Sao Hill
Industries Ltd, M/s Farm Equipment (T) Ltd, M/s Mufindi Wood Poles Ltd,
M/s Critical Engineering na M/s New Forests Treated Timber. Makampuni ya
nje ni Rousant International Ltd, Treated Timber Product Ltd, Low’s
Creek Treated Timber Ltd, Maqhilika Treated Timber Ltd na Vuka Timbers
Ltd.
Hivyo TANESCO inawahakikishia wananchi kwamba, Shirika haliagizi nguzo
zote nje kama ilivyoelezwa, bali kwa mujibu wa Sheria, nguzo hizo
husambazwa na makampuni ya ndani na nje yanayopatikana kwa njia za
Zabuni za ushindani.
Baadhi ya makampuni ya ndani yanaweza kuwa hayapati zabuni hizi kwa
sababu za ubora hafifu na bei kuwa juu zaidi ikilinganishwa na za nje.
Hata hivyo inachokitaka TANESCO ni unafuu kwa wateja wake.
Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU.
- See more at: http://mtanzaniatz.blogspot.com/2015/12/taarifa-kutoka-tanesco-kuhusu-kununua.html#sthash.ECcITfLZ.dpuf
UFAFANUZI WA TAARIFA KUWA TANESCO HAINUNUI NGUZO NCHINI BALI INAAGIZA AFRIKA KUSINI
Kwa takribani wiki moja sasa kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya
habari na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya
habari kuwa TANESCO haitumii nguzo za umeme zinazozalishwa hapa nchini
bali inaagiza nguzo hizo kutoka nchini Afrika Kusini.
Taarifa hizo zilidai kuwa Shirika lipo kwenye mchakato wa kutangaza
zabuni ya nguzo 700,000 kwa gharama ya Dola za Marekani 115 milioni sawa
na Sh 250 bilioni kwa mwaka 2015-2018 na kwamba sehemu kubwa ya pesa
hizo zitatumiwa na kampuni za nje.
Habari hizo ziliendelea kusema kuwa uagizwaji huo wa nguzo unaenda
kinyume na Sera ya serikali ya maendeleo ya kiuchumi inayohamasisha
matumizi ya bidhaa za ndani. Kwanza tunakanusha kuwa taarifa hizo SI
SAHIHI HATA KIDOGO, NI UZUSHI NA MAJUNGU yenye nia ovu na hatujui
anayezisambaza ana nia gani. Tunapenda kufafanua kwamba TANESCO hufanya
manunuzi yake kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa.
Shirika linapotaka kufanya manunuzi yoyote, linafuata kikamilifu Sheria
ya Manunuzi Namba 7 ya mwaka 2011 pamoja na Kanuni zake (GN 446) ya
mwaka 2013
Kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi, Zabuni yoyote isiyozidi Sh bilioni 1
inatakiwa itangazwe Kitaifa na hakuna kampuni ya nje inayoruhusiwa
kuomba zabuni hiyo. Zabuni yoyote inayozidi Sh bilioni 1 inatakiwa
itangazwe Kimataifa ili Makampuni ya ndani na ya nje nayo yaombe na
kushindanishwa. Kwa kuwa zabuni nyingi za nguzo zinazidi Shs bilioni 1
ndio maana TANESCO hutangaza zabuni hizo Kimataifa.
Aidha ili kuweka uwazi, Sheria hiyo ya Manunuzi inalitaka Shirika
kutangaza kwenye magazeti kila mwanzo wa mwaka Mpango wake wa Manunuzi
wa mwaka mzima (Annual Procurement Plan) na miaka yote TANESCO imekuwa
ikitekeleza kifungu hicho.
Ukweli ni kwamba; kwa mwaka 2013 hadi 2015 kupitia Zabuni namba
PA/001/12/HQ/G/148 TANESCO ilitangaza zabuni ya kuhitaji nguzo 133,800.
Kati ya nguzo hizo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo hapa nchini
(Local suppliers) yalishinda Zabuni ya kusambaza nguzo 49,510, Makampuni
ya Ndani ambayo yalishinda Zabuni na kuagiza nguzo hizo nje ya nchi
yalikuwa na Zabuni ya nguzo 75,670 wakati Makampuni ya nje yalishinda
Zabuni ya kusambaza nguzo 8,620 tu.
Kwa Zabuni ya mwaka 2014 hadi 2016 ambayo ilikuwa ni ya kuongezea
mahitaji ya nguzo kutokana na kasi ya usambazaji umeme nchini, TANESCO
kupitia Zabuni namba PA/001/14/HQ/G/113 ilitangaza Zabuni ya hitaji la
nguzo 16,500. Katika zabuni hiyo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo
hapa nchini yalipata Zabuni ya kusambaza nguzo 1,600 wakati Makampuni
mengine ya ndani lakini yanayoagiza nguzo hizo kutoka nje yalipata
zabuni ya kuleta nguzo 14,900. Zabuni hii haikuwa na kampuni ya nje hata
moja.
Zabuni Mpya ambayo habari hizo zilipotosha kuwa ni ya nguzo 700,000 si
kweli. Zabuni hiyo Mpya ni Namba PA/001/2015/HQ/G/001 ya mwaka 2016 hadi
2018 ambayo imeshatangazwa kwa mahitaji ya nguzo 240,060 na bado
wasambazaji hawajapatikana.
Makampuni ya ndani yanayosambaza nguzo TANESCO ni M/s Sao Hill
Industries Ltd, M/s Farm Equipment (T) Ltd, M/s Mufindi Wood Poles Ltd,
M/s Critical Engineering na M/s New Forests Treated Timber. Makampuni ya
nje ni Rousant International Ltd, Treated Timber Product Ltd, Low’s
Creek Treated Timber Ltd, Maqhilika Treated Timber Ltd na Vuka Timbers
Ltd.
Hivyo TANESCO inawahakikishia wananchi kwamba, Shirika haliagizi nguzo
zote nje kama ilivyoelezwa, bali kwa mujibu wa Sheria, nguzo hizo
husambazwa na makampuni ya ndani na nje yanayopatikana kwa njia za
Zabuni za ushindani.
Baadhi ya makampuni ya ndani yanaweza kuwa hayapati zabuni hizi kwa
sababu za ubora hafifu na bei kuwa juu zaidi ikilinganishwa na za nje.
Hata hivyo inachokitaka TANESCO ni unafuu kwa wateja wake.
Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU.
- See more at: http://mtanzaniatz.blogspot.com/2015/12/taarifa-kutoka-tanesco-kuhusu-kununua.html#sthash.ECcITfLZ.dpuf
UFAFANUZI WA TAARIFA KUWA TANESCO HAINUNUI NGUZO NCHINI BALI INAAGIZA AFRIKA KUSINI
Kwa takribani wiki moja sasa kumekuwa na taarifa kwenye vyombo vya
habari na mijadala kwenye mitandao ya kijamii na baadhi ya vyombo vya
habari kuwa TANESCO haitumii nguzo za umeme zinazozalishwa hapa nchini
bali inaagiza nguzo hizo kutoka nchini Afrika Kusini.
Taarifa hizo zilidai kuwa Shirika lipo kwenye mchakato wa kutangaza
zabuni ya nguzo 700,000 kwa gharama ya Dola za Marekani 115 milioni sawa
na Sh 250 bilioni kwa mwaka 2015-2018 na kwamba sehemu kubwa ya pesa
hizo zitatumiwa na kampuni za nje.
Habari hizo ziliendelea kusema kuwa uagizwaji huo wa nguzo unaenda
kinyume na Sera ya serikali ya maendeleo ya kiuchumi inayohamasisha
matumizi ya bidhaa za ndani. Kwanza tunakanusha kuwa taarifa hizo SI
SAHIHI HATA KIDOGO, NI UZUSHI NA MAJUNGU yenye nia ovu na hatujui
anayezisambaza ana nia gani. Tunapenda kufafanua kwamba TANESCO hufanya
manunuzi yake kwa mujibu wa Sheria, Kanuni na Taratibu zilizowekwa.
Shirika linapotaka kufanya manunuzi yoyote, linafuata kikamilifu Sheria
ya Manunuzi Namba 7 ya mwaka 2011 pamoja na Kanuni zake (GN 446) ya
mwaka 2013
Kwa mujibu wa Sheria ya Manunuzi, Zabuni yoyote isiyozidi Sh bilioni 1
inatakiwa itangazwe Kitaifa na hakuna kampuni ya nje inayoruhusiwa
kuomba zabuni hiyo. Zabuni yoyote inayozidi Sh bilioni 1 inatakiwa
itangazwe Kimataifa ili Makampuni ya ndani na ya nje nayo yaombe na
kushindanishwa. Kwa kuwa zabuni nyingi za nguzo zinazidi Shs bilioni 1
ndio maana TANESCO hutangaza zabuni hizo Kimataifa.
Aidha ili kuweka uwazi, Sheria hiyo ya Manunuzi inalitaka Shirika
kutangaza kwenye magazeti kila mwanzo wa mwaka Mpango wake wa Manunuzi
wa mwaka mzima (Annual Procurement Plan) na miaka yote TANESCO imekuwa
ikitekeleza kifungu hicho.
Ukweli ni kwamba; kwa mwaka 2013 hadi 2015 kupitia Zabuni namba
PA/001/12/HQ/G/148 TANESCO ilitangaza zabuni ya kuhitaji nguzo 133,800.
Kati ya nguzo hizo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo hapa nchini
(Local suppliers) yalishinda Zabuni ya kusambaza nguzo 49,510, Makampuni
ya Ndani ambayo yalishinda Zabuni na kuagiza nguzo hizo nje ya nchi
yalikuwa na Zabuni ya nguzo 75,670 wakati Makampuni ya nje yalishinda
Zabuni ya kusambaza nguzo 8,620 tu.
Kwa Zabuni ya mwaka 2014 hadi 2016 ambayo ilikuwa ni ya kuongezea
mahitaji ya nguzo kutokana na kasi ya usambazaji umeme nchini, TANESCO
kupitia Zabuni namba PA/001/14/HQ/G/113 ilitangaza Zabuni ya hitaji la
nguzo 16,500. Katika zabuni hiyo Makapuni ya ndani yanayozalisha nguzo
hapa nchini yalipata Zabuni ya kusambaza nguzo 1,600 wakati Makampuni
mengine ya ndani lakini yanayoagiza nguzo hizo kutoka nje yalipata
zabuni ya kuleta nguzo 14,900. Zabuni hii haikuwa na kampuni ya nje hata
moja.
Zabuni Mpya ambayo habari hizo zilipotosha kuwa ni ya nguzo 700,000 si
kweli. Zabuni hiyo Mpya ni Namba PA/001/2015/HQ/G/001 ya mwaka 2016 hadi
2018 ambayo imeshatangazwa kwa mahitaji ya nguzo 240,060 na bado
wasambazaji hawajapatikana.
Makampuni ya ndani yanayosambaza nguzo TANESCO ni M/s Sao Hill
Industries Ltd, M/s Farm Equipment (T) Ltd, M/s Mufindi Wood Poles Ltd,
M/s Critical Engineering na M/s New Forests Treated Timber. Makampuni ya
nje ni Rousant International Ltd, Treated Timber Product Ltd, Low’s
Creek Treated Timber Ltd, Maqhilika Treated Timber Ltd na Vuka Timbers
Ltd.
Hivyo TANESCO inawahakikishia wananchi kwamba, Shirika haliagizi nguzo
zote nje kama ilivyoelezwa, bali kwa mujibu wa Sheria, nguzo hizo
husambazwa na makampuni ya ndani na nje yanayopatikana kwa njia za
Zabuni za ushindani.
Baadhi ya makampuni ya ndani yanaweza kuwa hayapati zabuni hizi kwa
sababu za ubora hafifu na bei kuwa juu zaidi ikilinganishwa na za nje.
Hata hivyo inachokitaka TANESCO ni unafuu kwa wateja wake.
Imetolewa na:
OFISI YA UHUSIANO
TANESCO MAKAO MAKUU.
- See more at: http://mtanzaniatz.blogspot.com/2015/12/taarifa-kutoka-tanesco-kuhusu-kununua.html#sthash.ECcITfLZ.dpuf


0 comments :
Post a Comment